sosoliso hiyo namba moja ndio umepatia labisa upinzania haijawahi na haitokuja kutokea narudia tena kupata supporters wamaana . Watabaki na hao hao wavuta bangi na walevi mdio maana hatupata nafasi ya kuongoza Tanzania fullstop
Jitahidini kabisa hasipate hata kura za ukoo wake,ndio ataelewa kuwa Tanzania siyo ughaibuni
Nilimuambia Mwakalabela kuwa achana na historia angalia uhalisia.
Wananchi wa Iringa walimpigia mchungaji kura kwa wingi sababu ya hasira lakini baadaye wakagundua kuwa hasira yao iliwaongoza kupata kitu sahihi, hivyo anapaswa kuliona hilo katika muonekano wake wa sasa na siyo ule uliopita.
Wewe ni fan wa Msigwa ushasema, hivyo huwezi kuwa impartial katika hili.
Piga kampeni.
Kuuliza balozi kakusaidia nini wakati numeeleza kaiingiza Tanzania katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kunaonesha labda hujui kwamba ingawa all politics is local, geopolitics determine local politics.
Daaah.. Inawezekana ninajaribu kueleweshana na asieleewa.. Siku njema Mkuu..
Ccm inarudisha jimbo la Iringa mwaka mark my words people
Msigwa ana strategy ya kuwanunua madereva bodaboda na wapiga debe tu hakuna mkutano wa msigwa anawofanya ukahudhuriwa na matured people all his supporters are all unemployed or wavuta bangi tu. Hana ubavu mwaka huu . Ccm wamejipanga sana. So kama muna ndoto ya chadema kupata ubunge iringa please erase the dream.
kwenye urais jina LILIKATWAAAAAAAAAAAAAAAAA.Huo ni uroho wa madaraka, kaanzia Urais kashindwa, sasa Ubunge. Ingekuwa udiwani ni baada ya ubunge basi angeshindwa ubunge angeingia kwenye udiwani. Kwanza ni kwa nini kashindwa kinyang'anyiro cha Urais ndani ya CCM?
Ccm inarudisha jimbo la Iringa mwaka mark my words people
Msigwa ana strategy ya kuwanunua madereva bodaboda na wapiga debe tu hakuna mkutano wa msigwa anawofanya ukahudhuriwa na matured people all his supporters are all unemployed or wavuta bangi tu. Hana ubavu mwaka huu . Ccm wamejipanga sana. So kama muna ndoto ya chadema kupata ubunge iringa please erase the dream.
Pole mkuu maana kuna watu wanachukulia tofauti za itikadi za kisiasa kama uadui flani lakini ukweli unabaki palepale lengo kuu ni kumhudumia mwananchi kwa kutekeleza yale ambayo wanadhani kama chama kitashika dola kitayakamilisha na kukonga nyoyo za wananchi. Bado tuna mfumo CCM vichwani vyetu especially kwa sie tulioshuhudia mifumo yote yaani wa chama kimoja na huu wa vyama vingi kiasi kwamba kuna baadhi ya watu wanaona upinzani kama ni aina flani ya adui
Na ndio wapiga kura hao hao unaosema wavuta bangi na wapiga debe. Hata hivyo Iringa itakuwa inatisha kumbe wale wote wanaojaa kwenye mikutano ya Msigwa ni wavuta bangi basi jeshi la polisi limelala
Pole mkuu maana kuna watu wanachukulia tofauti za itikadi za kisiasa kama uadui flani lakini ukweli unabaki palepale lengo kuu ni kumhudumia mwananchi kwa kutekeleza yale ambayo wanadhani kama chama kitashika dola kitayakamilisha na kukonga nyoyo za wananchi. Bado tuna mfumo CCM vichwani vyetu especially kwa sie tulioshuhudia mifumo yote yaani wa chama kimoja na huu wa vyama vingi kiasi kwamba kuna baadhi ya watu wanaona upinzani kama ni aina flani ya adui
sosoliso That is your problem . You only rely on those type people. Vyama vya upinzani viyanze kujifunza how to utilize people the thing is that oposition party ndio inayo wakandamiza hawo ma jobless na wavuta bangi. Badala ya kuwaepusha na hivo vitu wao wanawajaza ujinga na kuwa depress infact hao wote leo wangiwa na proper class life je wangebakia huko chadema au kuwababaikia hao wapinzani??? Lets move on kwa facts. The only way ya hao majobless kupata pesa ya bangi kwa siku ni kuwasupport hao chadema thats why vyama vya upinzani watabakai na uneducated na unmatured supporters mpaka end of the world.