Ufisadi

KILINDI

Member
Apr 17, 2011
50
5
Hivi wanajamii kunaulazima wakuchangia life jacket kwaajili ya usafiri wa majini? Mimi nahisi kuibiwa, kwani hilo nijukumu na wajibu wa hao wenye vyombo hivyo kununua vifaa husika vya usalama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…