U.S. Voices Concern at Tanzania's Arrest of Opposition Politician


Utter nonsense!!!!!

Let them set an example by freeing all Trump’s thugs who stormed the U.S. Capitol.
 
Huyu nuland kaleta chokochoko tu,kaja kupeleleza
Apeleleze kitu gani ambacho US haijui kuhusu utawala dhalim na mabavu wa CCM? Na kesho jeshi la Polisi linakwenda kuuonyesha ulimwengu udhalimu na mabavu ya Serikali hii. Ndiyo maana wakati mwingine naona Siro anatumika kumhujumu Rais Samia.
 
Mama hatoziweza chokochoko za kutoka marekani atasalimu amri katiba mpya iendelee.
 
Gharama za kuzuia hiyo mijadala ya katiba imekuwa kubwa na imehuisha maradufu matangazo juu ya uhitaji wa katiba mpya.

Sasa mataifa mengi yanajua tunahitaji katiba mpya,kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo. Ata nia ya kufufua uchumi sasa imeingia dosari kubwa.
 
Naiona katiba mpya haiko mbali
Hata tukikopi Katiba ya marekan bado tatizo liko pale pale, viongozi wa Tanzania wanaweza fanya lolote bila kujali Katiba inasema nini.

Tatizo ni watanzania, sio Katiba.
 
Kuna mwisho wa kila kitu. AMEN
Hata tukikopi Katiba ya marekan bado tatizo liko pale pale, viongozi wa Tanzania wanaweza fanya lolote bila kujali Katiba inasema nini.

Tatizo ni watanzania, sio Katiba.
 
Soma wasifu wake utajifunza kitu kikubwa sana.Mwenye nchi hujawahi kaa na wapinzani then mgeni anakaa nao
ETI sasa hivi yuko busy na kupambana corona lakini mbona
1.Yeye anaenda kuzurura kwa bingwa wa ubeberu wa ndani
2.Sirro anashinda kaweka mikusanyiko hatarishi ya askari
3.Polisi wanakimbikiakimbia nchini kote kukamata wa CHADEMA hata wawili wakikutwa pamoja kama ilivyokuwa kwa makaburu SA
 
The act of questioning the opponents for half an hour, he already gets the answer to say about what led to the arrest of the Chadema chairman?

He forgets that, Those who arrested him sleep and wake up every day while they are here in the country?

Does the goat know the chairman outside and inside kuliko Watanzania wanao kaa naye kila siku?
 
Soma wasifu wake utajifunza kitu kikubwa sana.Mwenye nchi hujawahi kaa na wapinzani then mgeni anakaa nao
Atakaa na wapinzani ETI akimaliza kutuletea uchumi wa kibuluu kama wanavyodanganyana kule kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…