uzi wa kifuniko cha asali ni wa Daby au ID zote zake ?Sasa hizi ungeendeleza kwenye ule uzi wako wa vizibo vya asali ili iwe ni kama duka utangaze bidhaa ulizonazo zote. Au kila bidhaa uliyonayo utaianzishia uzi wake?
Ni wa huyu mleta uziuzi wa kifuniko cha asali ni wa Daby au ID zote zake ?
Nilitaka nifanye hvy lkn nimetafuta siuon,au cjui jins ya kutafuta maana nimehangaika mpk chaji ikawa inaishaSasa hizi ungeendeleza kwenye ule uzi wako wa vizibo vya asali ili iwe ni kama duka utangaze bidhaa ulizonazo zote. Au kila bidhaa uliyonayo utaianzishia uzi wake?
Nilitaka nifanye hvy lkn nimetafuta siuon,au cjui jins ya kutafuta maana nimehangaika mpk chaji ikawa inaisha
Ahsante sana,ubarikiweNauza kufuli(Chupi za kike) - JamiiForums
Kwa vifuniko vya cotton na lace vinapatikana kwa rahel moving shop. Tunauza kwa bei ya jumla na rejareja Mikoani tunatuma na kwa wakazi wa dar tunakuletea ulipo. Cal/watap :+255 767-562153 +255 678-335833 Hizo za lace kuna za piece 1 sh.2.000 na piece 1 sh.4.000 Na hizo cotton piece moja...www.jamiiforums.com
Umetoboa kimaisha inatosha mke..Haya matobo mengine waachie wengine..Hizi nzuri sana walah though sijatoboa
View attachment 1170060
Nikimpata wa kuzivaa ntakutafuta..Rachel online moving shop,nakuletea hereni kwa bei poa,heren nzuri za kisasa,unavaa popote iwe kwenye sherehe,kazini,kanisan n.k
Na unavalia nguo yyt.
Bei:tsh.6,000 kwa pear
Cal/watsap:+255 767-562153 or +255 678-335833
Pia kwa jumla tunauza
Dar nakuletea ulipo,mikoani natuma kwa uaminifu mkubwa.
Kwa picha zaidi
Instagram @Rachael_gerson
Facebook. Rachel gerson
KARIBU
😂🤣🤣🤣🤣Nikimpata wa kuzivaa ntakutafuta..
Umetoboa kimaisha inatosha mke..Haya matobo mengine waachie wengine..