nyamata07 Member Joined Jun 7, 2016 Posts 59 Reaction score 16 Jun 9, 2016 #1 Tunauza vifaa vya bomba na vyoo jumla na rejareja
NANDERA JF-Expert Member Joined Mar 18, 2014 Posts 2,023 Reaction score 2,492 Jun 9, 2016 #2 mnauzia wapi??? andika sifa za vitu unavyouza (kwa nini watu wanunue JST na si rocca), watavipitaje n.k. Picha tu haitoshi.
mnauzia wapi??? andika sifa za vitu unavyouza (kwa nini watu wanunue JST na si rocca), watavipitaje n.k. Picha tu haitoshi.
nyamata07 Member Joined Jun 7, 2016 Posts 59 Reaction score 16 Jun 9, 2016 Thread starter #3 Tupo mtaa wa gerezani,, karibu kabsa na round about ya kwenda kurasin,, vifaa vyetu ni bora na quality ni nzur,, ving ni imported from india dubai na china.
Tupo mtaa wa gerezani,, karibu kabsa na round about ya kwenda kurasin,, vifaa vyetu ni bora na quality ni nzur,, ving ni imported from india dubai na china.