Nilishauriwa nisije kuthubutu kununua gari arusha au moshi gari nyingi ni magumashi zimepigwa kenya zinaletwa huku kwetu kupitia magumashi na nishawahi thibitisha hilo ndg yangu ana gari kali arusha lakini halijawahi kutoka nje ya arusha aisee tuwe makini na hilo
Nilishauriwa nisije kuthubutu kununua gari arusha au moshi gari nyingi ni magumashi zimepigwa kenya zinaletwa huku kwetu kupitia magumashi na nishawahi thibitisha hilo ndg yangu ana gari kali arusha lakini halijawahi kutoka nje ya arusha aisee tuwe makini na hilo
Logic yake nini hasa kwamba halijawahi kutoka nje ya Arusha?
Kama mtu anaishi Arusha unataka awe analipaki Mwanza au Dar?
Naomba kueleweshwa kidogo humo nilimo bold