Naomba kuuliza,
Hii ya mwaka 2009 na ile ya Mwaka 2003 ukiacha tofauti ya mwaka kuna tofauti ingine yoyote kwenye body, ndani, engine, etc?
Manake isije ikawa ni hiyo hiyo ya mwaka 2003 imeendelea kutengenezwa mpaka mwaka 2009 mkasema ni toleo jingine