Tena kwa hizo Rim hii gari atakaa nayo sana aisee kwa hiyo beiHuyu jamaa bei zake?utafikiru showroom hatupafahamu? Mkija hapa late bei zinazosomeka sio kupoteza mb za watu!!
sport rim sio imara kama hizo huwa zinakawaida ya kupasukaBadili kwanza rim weka sport ndo uje Na bei hiyo
Okay, Chukua 9MGari ina km 41000
Halafu mnasema vyuma vimekaza.. !!!Gari imeshauzwa tayari