Toyota crown inauzwa

MAGARI7

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2016
Posts
2,401
Reaction score
1,311
Make : Toyota
Model : Crown
Mileage : 142,000 km
Engine size : 2990cc
Fuel : Gasoline/Petrol
Drive : two wheels drive (2WD)
Steering : Right
Transmission : Automatic
Ext. Color : Silver
Manufactured year/month : 2005/5
Door : 4
Seat : 5

FEATURES
Airbag *
Air conditioner *
Power Steering *
Power windows *
Power Door *


Alloy Wheels *
Rear Spoiler *
Aero *
NavigatIon*
FOG HID * B-MONITOR *
P-SEAT * P-START*

BEI INAKUA IMEJUMUISHA PAMOJA NA ;
Ushuru [emoji736]
Port charges [emoji736]
Agency fees [emoji736]
Marine insurance [emoji736]
registration [emoji736]
Bima ya barabarani [emoji777]

ecarstanzania@gmail.com

Karibu!
 

Attachments

  • 1466621289269.jpg
    27.6 KB · Views: 102


Hiyo bei ni sh ngapi ?
 
maelezo mengi lakini bei ndio hakuna.

swissme
 
Salaam nyote,

Samahanini kwa usumbufu uliojitokeza, nilisahau ku ambatanisha na bei, bei ni $8460 tu.


Kwa amabae yuko serious, we can negotiate.

Karibu
 
Labda uwe una miliki kituo chako mwenyewe cha mafuta ndo uta afford cc hizo
 
Labda uwe una miliki kituo chako mwenyewe cha mafuta ndo uta afford cc hizo
And that is not true!

Sidhani hawa wore walio na crown wanavituo vyao vya mafuta.

Hii 'Tisha-tisha' ilianziaga zamani kidogo, kwa waliokua wanataka kumiriki brevis, wengi waliambiwa brevis inakula mafuta. Kuna waliochukulia sawa na kuna walio ignore pia.

End of the day, brevis zimekua nyingi and still zinazidi.

Na kwa walio wahi endesha brevis ama kwa hakika wanaweza sema uzuri wa ile gari.
 
Hawajui kuwa mfumo wa engine za kisasa hata kama cc ni kubwa lakini inatumia mafuta kidogo.
 
It wasn't said by literal meaning, it was just a figure of speech, but thanks for your elaborated input anyway.
 
Weka bei kwa shillings wengine sisi ni wavuvi huku kisorya hiyo bei hatuijui
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…