TOYOTA CHASER GF-GX 100

Sijui mlisha jua Watanzania wapo desperate na mambo ya magari ndio maana mnawafanyia hivi,yani gari ina miaka 23 toka itengenezwe halafu unaiuza 4M?? hapo depreciation sio zero ni negative.

Tafuta ndugu yako unaye mpenda MPE kama zawadi bure.
 
Sijui mlisha jua Watanzania wapo desperate na mambo ya magari ndio maana mnawafanyia hivi,yani gari ina miaka 23 toka itengenezwe halafu unaiuza 4M?? hapo depreciation sio zero ni negative.

Tafuta ndugu yako unaye mpenda MPE kama zawadi bure.
Point.
Huwa wanazingua Sana.
 
Sijui mlisha jua Watanzania wapo desperate na mambo ya magari ndio maana mnawafanyia hivi,yani gari ina miaka 23 toka itengenezwe halafu unaiuza 4M?? hapo depreciation sio zero ni negative.

Tafuta ndugu yako unaye mpenda MPE kama zawadi bure.
Gari BREVIS inauzwa kwa 2.0m TZS kiroho safi





 
Sijui mlisha jua Watanzania wapo desperate na mambo ya magari ndio maana mnawafanyia hivi,yani gari ina miaka 23 toka itengenezwe halafu unaiuza 4M?? hapo depreciation sio zero ni negative.

Tafuta ndugu yako unaye mpenda MPE kama zawadi bure.
Ukipost biashara JF inabidi uwe na moyo wa chuma
cc Espy
 
Sijui mlisha jua Watanzania wapo desperate na mambo ya magari ndio maana mnawafanyia hivi,yani gari ina miaka 23 toka itengenezwe halafu unaiuza 4M?? hapo depreciation sio zero ni negative.

Tafuta ndugu yako unaye mpenda MPE kama zawadi bure.
Asante kwa ushauri
 
Hiv hakuna namna ya kuchukua injini ya gari hizi za zaman ukaweka kwenye gari za kisasa?
 
Sijui mlisha jua Watanzania wapo desperate na mambo ya magari ndio maana mnawafanyia hivi,yani gari ina miaka 23 toka itengenezwe halafu unaiuza 4M?? hapo depreciation sio zero ni negative.

Tafuta ndugu yako unaye mpenda MPE kama zawadi bure.
Langu niliuza Kwa 1.5m na jamaa alinilipa 300k tu tangu 2017 hajamalizia balance
 
Ukipost biashara JF inabidi uwe na moyo wa chuma
cc Espy
Yaani mimi nachekaga mpaka basi. Kuna mmoja alinifurahisha yeye aliamua kwenda sawa na watoa comnents nae akawa comedy zaidi yao.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…