.Ni dawa ya meno nzuri itokanayo na Aloe Vera na Bee Propolis(Antiobiotic Asilia)
.Inaponyesha kutoka damu wakati wa kupiga mswaki, pia inaponyesha vidonda mdomoni na pia unaweza ukaipaka kwenye vidonda
· Haikwangui meno hivyo kuyaacha meno na ngao yake ya nje imara
· Inasaidia katika mmengenyo wa chakula endapo utameza
· Inasafisha vizuri fizi hivyo inaacha kinywa kikiwa safi na salama
Mimi nilifikiri mtu anataka ushauri juu ya afya! sikuwa najua kumbe hata matangazo yanapostiwa hapa?,ila kwenye medical huwa hakuna matangazo huduma yako inajitangaza lo! kazi kwelikweli.