Thread imenipeperushia mwali

hehehe maharage ya Mbeya sio?
Lakini tatizo alisha jua kuwa mm ndo Fidel ikawa noma.

Maharage ya mbeya = maji mara moja = matumizi ya nishati kidogo= economy!!!!!!!

Mkuu nakuaminia kwa ubunifu wa pasua mbavu!!! Kwa mantiki hiyo ni vema mtu kuwa makini na thread unayoanzisha!!!!

Na wewe mkuu mbona huna likizo ya malavidavi??? Ka ukisafiri tu kidogo unaye!!!??
 

Kiongozi hana likizo huyu! Ye wakati wowote ni fita tu! Fita ni fita mura!
 
ahahahhhh we acha uhuni......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…