Tecno c9 sokoni

Kim Jane Neja

Member
Joined
Oct 22, 2016
Posts
13
Reaction score
3
Habari wana jf....
Nauza tecno c9..
Imetumika MWez 1 tu...
Mwenye uhitaj aniinbox....kwa wakaz waliopo Dar es Salaam tyu
 
Taja bei achana na mambo ya inbox
 
Bei na picha zake plz weka vitu mubashara
 
Tecno hawana maana cz wanatoa matoleo mapya kila cku na kila wakitoa toleo jipya lile lililotangulia hushuka bei hivyo hizi cm muwe nazo makini sana .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…