Hawataki kusema wazi wazi ila mgao huo ni rasmi kwakuwa tumeshaanza kuuzoea kwa takribani mwezi sasa.
Waliposema wanahitilafu kwenye kituo chao cha Kinyerezi, kama hukuwaelewa ni kuwa 150MW zimetoka kwenye Grid na mpaka sasa hawajasema wamefikia wapi na nini mategemeo yao.
Baadhi ya vituo vyao vya kuzalisha umeme, havizalishi kwa asilimia zote bali karibu nusu ya uwezo wa kituo umepungua kutokana na kukosa matengezo sahihi ya mitambo.
Ajabu wakurupukaji wamekaa kimyaaaaa!!!