Nashukuru kwa waliotoa ushauri naufanyia kazi to improve the business..ah upande wa price objection napenda kusema kwamba we are not in mass production era kama jamaa wa magari ya ford..gari aina moja kwa wateja wote na bei ni moja no now ni era ya socioeconomic/product...Segmentation niliofanya inawezekana usiwe wemo ie unaweza segment kwa demographic, social status etc...yawezekana hujaona value and can't complain labda hujaona value over price..