Pranzou jr
Member
- May 28, 2019
- 51
- 54
Aisee njoo Pm uniambie sababu sahihi ya kuuza tutafanya biasharaKaribuni wadau
We ulinunua bei gani?Simu hii SAMSUNG GALAXY A10
Iko sokoni ina siku 4 tangu niinunue wadau, nimepatwa na tatizo ghafla mkoani.
Bei 280k
Iko dar
Simu 0755102030View attachment 1118498 View attachment 1118500View attachment 1118501View attachment 1118502View attachment 1118503
Simu hii SAMSUNG GALAXY A10
Iko sokoni ina siku 4 tangu niinunue wadau, nimepatwa na tatizo ghafla mkoani.
Bei 280k
Iko dar
Simu 0755102030View attachment 1118498 View attachment 1118500View attachment 1118501View attachment 1118502View attachment 1118503
Mkuu hii simu yako inaitwa Samsung Galaxy A10 Pro na sio A10 plain kwa hiyo badili hapo unawachanganganya
Kitu cha pili tusaidie simu yako wewe ulinunua wapi na kwa bei gani?Ukiangalia specs za hiyo simu na bei yako naona unauza kwa bei ndogo sana je umenunua bei gani na wapi?
Hisia zangu zinanituma hiyo ngoma ni clone kwa hiyo mnunuaji uwe makini kuicheck
Lengo si kukuharibia biashara ila ni kukumbushana ili tusjeumizana wanaJF
View attachment 1119428
Akikujibu nitagMkuu hebu naomba tofauti ya clone na OG kwa Galaxy A30 nilienda Kariakoo juzi nikashindwa kuelewa nikaacha kununua.
Sidhani kama kuna simu inaitwa Samsung Galaxy A10 Pro.Mkuu hii simu yako inaitwa Samsung Galaxy A10 Pro na sio A10 plain kwa hiyo badili hapo unawachanganganya
Kitu cha pili tusaidie simu yako wewe ulinunua wapi na kwa bei gani?Ukiangalia specs za hiyo simu na bei yako naona unauza kwa bei ndogo sana je umenunua bei gani na wapi?
Hisia zangu zinanituma hiyo ngoma ni clone kwa hiyo mnunuaji uwe makini kuicheck
Lengo si kukuharibia biashara ila ni kukumbushana ili tusjeumizana wanaJF
View attachment 1119428
Hakuna simu inayoitwa Galaxy A10 pro, na hizo simu za Galaxy A series mpya (A10, A20,A30 n.k) zmetoka juzi tu kuanzia february hadi june. ( sidhan km kopi zipo tayari) . Hiyo A10 kuuzwa 280 ni sahihi kabisa, kuna rafiki angu kanunua dukani 320, inauzwa bei ndogo sabab ya kioo chake siyo Super Amoled km kawaida ya Samsung, sijamtetea muuzaji ila nmeeleza nnachokifaham maana me ni mfuasi wa Samsung so ukipigwa me simo.
Hakuna simu inayoitwa Galaxy A10 pro, na hizo simu za Galaxy A series mpya (A10, A20,A30 n.k) zmetoka juzi tu kuanzia february hadi june. ( sidhan km kopi zipo tayari) . Hiyo A10 kuuzwa 280 ni sahihi kabisa, kuna rafiki angu kanunua dukani 320, inauzwa bei ndogo sabab ya kioo chake siyo Super Amoled km kawaida ya Samsung, sijamtetea muuzaji ila nmeeleza nnachokifaham maana me ni mfuasi wa Samsung so ukipigwa me simo.
Hakuna simu inayoitwa Galaxy A10 pro, na hizo simu za Galaxy A series mpya (A10, A20,A30 n.k) zmetoka juzi tu kuanzia february hadi june. ( sidhan km kopi zipo tayari) . Hiyo A10 kuuzwa 280 ni sahihi kabisa, kuna rafiki angu kanunua dukani 320, inauzwa bei ndogo sabab ya kioo chake siyo Super Amoled km kawaida ya Samsung, sijamtetea muuzaji ila nmeeleza nnachokifaham maana me ni mfuasi wa Samsung so ukipigwa me simo.
Hakuna simu inayoitwa Galaxy A10 pro, na hizo simu za Galaxy A series mpya (A10, A20,A30 n.k) zmetoka juzi tu kuanzia february hadi june. ( sidhan km kopi zipo tayari) . Hiyo A10 kuuzwa 280 ni sahihi kabisa, kuna rafiki angu kanunua dukani 320, inauzwa bei ndogo sabab ya kioo chake siyo Super Amoled km kawaida ya Samsung, sijamtetea muuzaji ila nmeeleza nnachokifaham maana me ni mfuasi wa Samsung so ukipigwa me simo.
shida moja tu betri ila iko safi kabisavivo x21
display 6.3*gollila 3
ram 6gb
rom 128gb
fingerprint
face unlocker
dual camera 12mp/5mp
selfie 12mp
android 9
bei 400k
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile appView attachment 1305167
Sent using Jamii Forums mobile app