Simu mpya za samsung

Jeitakuajejaji

Senior Member
Joined
Mar 18, 2010
Posts
176
Reaction score
395
Samsung Galaxy

J1 mini 155,000

J1ace rangi black na Gold 195,000

J2 black and Gold Tsh 300,000.

J3 balck and gold Tsh 355,000.

J5 black n gold Tsh 375000.

J7 black n gold Tsh 489,000.

A3(2016) gold Tsh 609,000.


A5 gold 2016 Tsh 779,000.

A7 Gold ya 2016 Tsh 869,500.

Tab 3 black Tsh 355,000.

Tab A black Tsh 412,000.

mpya kwenye box na 2years warrant

Call or whatsApp 0715531232 for also note 5, s7, s6

karibu sana
 

Attachments

  • 1476389008138.jpg
    28.8 KB · Views: 96
  • 1476389054841.jpg
    23.3 KB · Views: 78
  • 1476389181399.jpg
    28 KB · Views: 83
  • 1476389227336.jpg
    19 KB · Views: 83
  • 1476389302633.jpg
    33.9 KB · Views: 76
  • 1476389353630.jpg
    15.8 KB · Views: 74
  • 1476389379937.jpg
    37.4 KB · Views: 88
  • 1476389612154.jpg
    39.7 KB · Views: 86
Samsung wamesema Note 7 zote zirudishwe kiwandani na wanarudisha pesa yako. Wamekataza zisiuzwe wala kutumiwa.

Watanzania sijui hawaelewi lugha? Au ubishi!
 
Samsung wamesema Note 7 zote zirudishwe kiwandani na wanarudisha pesa yako. Wamekataza zisiuzwe wala kutumiwa.

Watanzania sijui hawaelewi lugha? Au ubishi!
Vyote kwa pamoja hatuelewi lugha pia ni wabishi
 
Sina uhakika hata kama kuna waliokuwa wamenunua tayari kwani zilianza kusumbua soon baada ya kuingia sokoni nadhani watu wengi wa ulimwengu wa tatu walikuwa katika maandalizi yakuanza kuzinunua ndio yakaanza kutokea hayo yanayotokea
 
Sina uhakika hata kama kuna waliokuwa wamenunua tayari kwani zilianza kusumbua soon baada ya kuingia sokoni nadhani watu wengi wa ulimwengu wa tatu walikuwa katika maandalizi yakuanza kuzinunua ndio yakaanza kutokea hayo yanayotokea

Thanks kwa kunijuza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…