Simu inatafutwa iphone 6plus

C.Thady

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
589
Reaction score
155
Habari wapendwa nipo Tanga mjini mtaa wa kange nimeangusha simu yangu aina ya iphone 6splus ya silver ina kava la gold jana tarehe 26/01/2018 saa tano asubuhi mtaa wa kange kasera.

Ipo na icloud protection na tumejaribu ku track ila mpaka muda bado imezimwa hivyo Kama kuna yeyote aliyeiokota tafadhali piga namba zilizopo kwenye dispaly ya hio simu au nicheck inbox kitu kidogo cha shukrani nitakupatia.
Asanten.
 
Hiyo atakurudishia tu cz labda akauze spare lakini kuifungua atachemka sana sana ataenda kuuza kioo na tachi+moth body yaaani mashine hawezi iuza
 
Tatzo la Njitu nyingne hio cm anaweza hata asifaid chochote ila kuirudsha roho inamuuma, hao ndo wale hata nzi akiingia chooni kwake lazma amfukuze mana anaona atafaid
 
NAMSHUKURU MUNGU SANA NA PIA ASANTEH WOTE KWA USIRIKIANO. NIMEIPATA SIMU YANGU MUDA HUU . SAA KUMI NA MBILI NA DAKIKA 11.
 
Sema basi umeipataje?
Nimechukua laptop ya Apple kwa best yangu hapa then tukaingia find my iphone kisha akafungua icloud na ku login kwenye ID yangu... then tukaona last location ya simu ilipo. Then nikaweka na Imei number ya simu pia.... kwa phonw finder nikaiona ilipo so. Nilichofanya ni kuchukua polisi na kuenda nao eneo simu ilipo kwa kufuata location.
 
Nashukuru kwa ufafanuzi mzuri kabisa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…