Nyamagondo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 648
- 767
- Thread starter
-
- #21
Mkuu hatujasema kama tunapata hasaraKama unauza kwa ssbabu mnspata hasara.. je mnunuzi mtamshaurije anunue na apate faida? Yaani isitokee kuwa ilivyo sasa.. mna mipango ya kushauri ktk uendelezaji wa hiyo shule au?
Ok mkuu tutakuunganisha na mnunuziKwa atakae nunua shule hiyo nipo tayari niwe mkuu wa shule hiyo, kwa sasa ni mkuu wa shule ya serikali.
Ngoja watoke kwa DPP waje...Watakuja mkuu,vuta subira.
Utaacha ufugaji kuku?Kwa atakae nunua shule hiyo nipo tayari niwe mkuu wa shule hiyo, kwa sasa ni mkuu wa shule ya serikali.
Waje kabisa mkuuNgoja watoke kwa DPP waje...
Asante pia
HahahaaaUtaacha ufugaji kuku?
Duu hahaaaNgoja watoke kwa DPP waje...
Shule ya msingi au sekondari?Wakuu natumaini mko salama.
Kuna shule inauzwa ipo maeneo ya Kongowe Dar es salaam na ina mambo yafuatayo:-
-Ina vyumba 12 vya madarasa
-Ina jengo la utawala na maofisi
-Ina bwalo kubwa
-Ina nyumba 2 za walimu
-Ina hosteli 2 za boys na girls
-Ina zahanati ya shule
-Ina kisima cha maji kirefu cha kisasa
-Ina umeme
-Ina ofisi za walimu
-Ina wanafunzi na walimu na other staff
-Ipo katika eneo la ekari 40
-Inafikika vizuri kwa gari, ni umbali wa kiasi kutoka main road.
Kwa kifupi ina details nyingi lakini hatuzitoi zote in public kwa kuhofia wazazi kuhamisha wototo wao wakiliona tangazo live kwamba shule inauzwa.
Kwa ambae yupo Interested kabisa kabisa njoo inbox utapata details zote pamoja na kuitembelea uione.
Pia kwa mwenye kumleta mteja atapata ya maji ya kunywa.
Bei yake inaanzia Tsh bilioni 3 , lakini inazungumzika vizuri tuu na unaweza kulipa kwa awamu. Pia tukizitoa zile ekari za eneo ibaki shule pekee bei inashuka zaidi hadi 1.5B
Pia tunaweza kuingia mkataba maalumu na mtu/taasisi kwa suala la ku outsource management, kwa hiyo hapo unatuma proposal ya kuhitaji halafu tunakuja kukaa kikao pamoja. Hapa bei inakua ndogo ni kulingana na muda unaotaka kuweka management yako katika shule.
Karibuni sana wakuu.
Namba zangu za simu ni 0745596315
Kwa nini mkuuMkuu ni bora mkabadili badala ya kua shule ikawa chuo
Ya sekondari mkuuShule ya msingi au sekondari?
Mkuu kiwe chuo cha nini labdaMkuu ni bora mkabadili badala ya kua shule ikawa chuo
Hivi vyuo vinavyotoa kozi za ufundi stadi au kama mpo vizuri mnaenda nacte ukizingatia wanafunzi wengi hua hawafaulu form 4, ukiwa na kozi za certificate na diploma hela zipo nje nje cha muhimu ni kujitangaza na matangazoMkuu kiwe chuo cha nini labda
Asante kwa ushauri wako mkuuHivi vyuo vinavyotoa kozi za ufundi stadi au kama mpo vizuri mnaenda nacte ukizingatia wanafunzi wengi hua hawafaulu form 4, ukiwa na kozi za certificate na diploma hela zipo nje nje cha muhimu ni kujitangaza na matangazo
Yani unauza shule na wanafunzi wake dah, biashara ya binadamu hiiWakuu natumaini mko salama.
Kuna shule inauzwa ipo maeneo ya Kongowe Dar es salaam na ina mambo yafuatayo:-
-Ina vyumba 12 vya madarasa
-Ina jengo la utawala na maofisi
-Ina bwalo kubwa
-Ina nyumba 2 za walimu
-Ina hosteli 2 za boys na girls
-Ina zahanati ya shule
-Ina kisima cha maji kirefu cha kisasa
-Ina umeme
-Ina ofisi za walimu
-Ina wanafunzi na walimu na other staff
-Ipo katika eneo la ekari 40
-Inafikika vizuri kwa gari, ni umbali wa kiasi kutoka main road.
Kwa kifupi ina details nyingi lakini hatuzitoi zote in public kwa kuhofia wazazi kuhamisha wototo wao wakiliona tangazo live kwamba shule inauzwa.
Kwa ambae yupo Interested kabisa kabisa njoo inbox utapata details zote pamoja na kuitembelea uione.
Pia kwa mwenye kumleta mteja atapata ya maji ya kunywa.
Bei yake inaanzia Tsh bilioni 2 , lakini inazungumzika vizuri tuu na unaweza kulipa kwa awamu. Pia tukizitoa zile ekari za eneo ibaki shule pekee bei inashuka zaidi hadi 1.5B
Pia tunaweza kuingia mkataba maalumu na mtu/taasisi kwa suala la ku outsource management, kwa hiyo hapo unatuma proposal ya kuhitaji halafu tunakuja kukaa kikao pamoja. Hapa bei inakua ndogo ni kulingana na muda unaotaka kuweka management yako katika shule.
Karibuni sana wakuu.
Namba zangu za simu ni 0745596315
Hahahaaa duuuYani unauza shule na wanafunzi wake dah, biashara ya binadamu hii
Biashara halali kabisa hii mkuuYani unauza shule na wanafunzi wake dah, biashara ya binadamu hii
Wakuu natumaini mko salama.
Kuna shule inauzwa ipo maeneo ya Kongowe Dar es salaam na ina mambo yafuatayo:-
-Ina vyumba 12 vya madarasa
-Ina jengo la utawala na maofisi
-Ina bwalo kubwa
-Ina nyumba 2 za walimu
-Ina hosteli 2 za boys na girls
-Ina zahanati ya shule
-Ina kisima cha maji kirefu cha kisasa
-Ina umeme
-Ina ofisi za walimu
-Ina wanafunzi na walimu na other staff
-Ipo katika eneo la ekari 40
-Inafikika vizuri kwa gari, ni umbali wa kiasi kutoka main road.
Kwa kifupi ina details nyingi lakini hatuzitoi zote in public kwa kuhofia wazazi kuhamisha wototo wao wakiliona tangazo live kwamba shule inauzwa.
Kwa ambae yupo Interested kabisa kabisa njoo inbox utapata details zote pamoja na kuitembelea uione.
Pia kwa mwenye kumleta mteja atapata ya maji ya kunywa.
Bei yake inaanzia Tsh bilioni 2 , lakini inazungumzika vizuri tuu na unaweza kulipa kwa awamu. Pia tukizitoa zile ekari za eneo ibaki shule pekee bei inashuka zaidi hadi 1.5B
Pia tunaweza kuingia mkataba maalumu na mtu/taasisi kwa suala la ku outsource management, kwa hiyo hapo unatuma proposal ya kuhitaji halafu tunakuja kukaa kikao pamoja. Hapa bei inakua ndogo ni kulingana na muda unaotaka kuweka management yako katika shule.
Karibuni sana wakuu.
Namba zangu za simu ni 0745596315