Shamba linauzwa

Qualifier

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
1,252
Reaction score
407
Shamba linauzwa, liko kijiji cha msowero, wilaya ya kilosa mkoa wa Morogoro. shamba limepimwa na lina hati, ukubwa ni ekari 47.8 liko kandokanda mwa mto msowero linafaa sana kwa kilimo cha umwagiliaji, kuna nyumba na barabara. mazao yanayo zalishwa ni rahisi kuyafikisha kariakoo kwani ni barabara ya lami na ukiondoa foleni ni masaa 4 manne kutoka shambani mpaka kariakoo na masaa 2;30 kutoka shambani mpaka Dodoma mjini. kwa yeyote atakaye lihitaji tukutane inbox.
 
Kama umeshaamua kuweka tangazo lako la biashara humu basi jitahidi kuweka wazi kila kitu ili MTU anapokuinbox inakuwa ni hatua nyingine ya kubargain.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…