Shamba la mipapai ekari 2, miundo mbinu ya umwagiliaji kisima cha mita 90, tank la maji ,Dripu za umwagiliaji, pump, kibanda cha watumishi/stoo. liko barabarani kabisa ,bei Tsh 16,000,000
niliisha uza, ila kando yake nina 1.5 acre ina green house na mpunga, kisima kwa 9m na mbele mita 600 kuelekea baharini nina ekari 4, zina nyumba ,mabanda 2 ya ufugaji, kisima na tank la maji bei mil 40 na beach kabisa acre 6(hazijalimwa) kwa mil 78