Wadau,
Kuna haja ya ya kuja na paln B au tuamue kuitekeleza plan A. JF kama great thinkers tujadili hili.
Mbowe ameongelea civil disobedience. Hivi tunatakiwa kutii kila kinachosemwa na polisi hata kama ni cha hovyo?
Wanakataa maandamano badala ya kuyalinda yasizae vurugu.
Wajuzi watupe muongozo, endapo sauti zetu zinamimywa zisitoke kupitia maandamano, tutaziolea wapi?
Endapo tunapingana na uchafu wa watawala tuta demnstrate vipi?
Endapo tuna sababu za kuandamana na polisi wanakataza, njia ipi tuifuate?
Nawasilisha.