Nasikitika sana Africa tunabaki kuwa wapumbavu mbele ya wazungu, wazungu walituwekea hii mahakama ya Uhalifu ,cause walijua mapungufu yetu ,yaani hata kudukua hatujui ,tunashindwa hata kumuomba Putin atufundishe kudukua bila madhara,Africa tunastahili kutawaliwa tena-Trump,)inakuwaje uendelee kula asali na maziwa kwa staili ya kuua