mkuu yaani kwavile umeshauza ndiyo unaona unasumbuliwa, mimi nadhani hii ndiyo ingekuwa fursa nzuri ya kuitangaza biashara yako kwasababu tayari wateja wanawasiliana na wewe
mkuu yaani kwavile umeshauza ndiyo unaona unasumbuliwa, mimi nadhani hii ndiyo ingekuwa fursa nzuri ya kuitangaza biashara yako kwasababu tayari wateja wanawasiliana na wewe