We badala ya kusema pombe iongezewe kodi then unataka ifutwe? Leo hela za walevi na wavuta sigara ndio mnazifaidi maana TBL, SBL na TCC ndo walipa kodi wakubwa wa kwanza, acha dhahabu na almasi mnazojisifia ni utajiri.
Kama unadhani urusi ni walevi mbona nyie msio walevi bado wanawaletea misaada hadi vyandarua na ko.nd.omu? Pesa inatafutwa popote bro, kama vipi mfungie mwanao asinywe bia sisi tunahitaji kodi zao tena ziongezeke maradufu tupate huduma za kijamii, wao walevi watajijua.