PID

Joined
Jan 16, 2019
Posts
18
Reaction score
3
[emoji3479]PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID)


Ni ugonjwa unao shambulia mfumo wa uzazi kwa mwanamke nimojawapo ya ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya kujamiiana.


[emoji3479]HUATHIRI SEHEMU ZIPI
[emoji654]Mfumo wa uzazi.
[emoji654] Ovary.
[emoji654]Mirija ya falopian pamoja na sehemu nyingine za mfumo wa uzazi wa mwanamke.


[emoji3479]SABABU ZA PID

[emoji654]Utoaji mimba usio salama
[emoji654]Wakati wa kujifungua
[emoji654]Magonjwa ya ngono Kama kaswende, gorrno her.



[emoji3479]DALILI ZA PID


[emoji654]Maumivu Wakati kwa kukojoa
[emoji654]maumivu makali wakati wa kujamiiana
[emoji654]Kuwashwa maeneo ya nje na ndani ya uke
[emoji654]Maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kulia mwa tumbo
[emoji654]Homa na chafya za Mara kwa Mara
[emoji654]kutoka uchafu wenye rangi Kama usaha au wa kijani wenye kutoa harufu.



[emoji3479]MADHARA YA PID
[emoji654]Kuvurugika kwa miangilio ya hormonal inbalance
[emoji654]kuchubuka na kuziba kwa mirija ya fallopian.
[emoji654]Kuwa na mzunguko mdogo au kukosa kabisa
[emoji654]kusababisha vimbe kwenye mirija na kwenye via vyote vya uzazi.



Je ni PID imekutesa njoo upone Sasa wasiliana nami kwa no 0717566549 WhatsApp 0765462490 call au tembelea page@afyamwanamke utapona na kuisahau PID

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…