Hebu tuwe wakweli, kidogo ALHAJI TECNO dukani ni tsh. 300K mpaka 270K brand new ndani ya box na warrnty ya mwezi mmoja, sasa ww unakuja hapa na picha zako ndani ya darasa sijui umesha kula ada unasema 300K haya labda wasubiri wa mkoani
Hii labda uwauzie wale wakulima wa wakorosho kutoka Mtwara na Lindi.....Maana kwa bei hiyo na kwa hadhi ya simu yenyewe, mteja utakayempata ni yute tu mwenye hela za kuchezea. Na kwa hapa TZ wakulima wa korosho ndio wenye hela za kuchezea kwa sasa.