Nyumba ya kisasa 28ml chanika

mslopagaz

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
367
Reaction score
36
Nyumba imejengwa kisasa
-> master bedroom 1(ft 12×10)
->single rooms 3(ft12×10)
->sitting room kubwa ya kisasa
->public toilet 1
->uwanja 20×20
->huduma muhim zinapatkana kwa ukaribu
->Kuna nafas kdgo ya mazungumzo kwa serious buyer
->>>>0656 698232
 
Hivyo vyumba vitatu, kila kimoja kina size ya 12*10 ..?!
 
Mkuu hii nyumba ulitengeneza mwenyewe kwa ajili ya makazi yako au ndio zile za Jenga Uza kama za Chamazi za tofali biscuit Mfuko mmoja wa cement unatoa tofali 75?
 
Mkuu hii nyumba ulitengeneza mwenyewe kwa ajili ya makazi yako au ndio zile za Jenga Uza kama za Chamazi za tofali biscuit Mfuko mmoja wa cement unatoa tofali 75?
Mkuu nyumba ilijengwa kwa matumiz ya kuish
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…