Nyumba inauzwa Ukonga

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,635
Habari wakuu,

Nyumba inauzwa ipo Ukonga Mazizini, ina vyumba 3 vya kulala, sebule jiko na choo, bei yake ni Mill 35 negotiable, madirisha na milango yake ipo ambayo bado haijawekwa kwenye nyumba.

Karibuni

Contact 0713196055
 

Attachments

  • 1435180903024.jpg
    113 KB · Views: 303
  • 1435180946042.jpg
    61.8 KB · Views: 264
  • 1435180972393.jpg
    72.1 KB · Views: 254
  • 1435181004242.jpg
    42.4 KB · Views: 257
Nauza Kiwanja Kivule njiapanda ya shule ukubwa 50/25 mil 7 nichek 0779545500
 
Nauza Kiwanja Kivule njiapanda ya shule ukubwa 50/25 mil 7 nichek 0779545500

Huku mil.7 Kule mil.6. Wewe jamaa wewe kama vile hujielewi. Alafu kwanini unadandia matangazo ya wenzako???? Anzisha Uzi wako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…