Yote hayo kwa faida gani? Unamuonngopea nani? Yani ujenge nyumba yote vzr uweke tiles nzuri, gypsum nzuri, bati nzuri, madirisha ya vioo, mageti na kila kitu ila kwenye nondo uweke moja au uweke pembeni kati usiweke hiyo ni akili kweli au matope?
Sent from my SM-G532F using
JamiiForums mobile app