American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 902
- 1,536
Duh! Hii kali, Nyumba inauzwa saa 9:30 usiku.
We unatafuta nini humu hii saa tisa usiku
Kwani hili Tangazo ikifika mchana linajificha,Wewe kwa nn uuze nyumba saa tisa usiku tuna wasi wasi nayo
Kwani hili Tangazo ikifika mchana linajificha,
kwanin usingesubir huo mchana, au marehemu kafariki usiku huu huu
Huyu atakuwa kwenye chain ya madalali yupo namba 8 hadi 10 haruhusiwi hwta kutoa tangazo sema kajitahidi kuiba ndo kapata hapoHahahha,asiee burudani kweli.
Yote kwa yote frame zinauzwa maana siioni nyumba hapo.Jamaa kaipiga picha kiwizi kweli,amezuiliwa hata kuingia ndani
Asa flame si nyumba!? au flame ni mapango?
Hahahha,asiee burudani kweli.
Yote kwa yote frame zinauzwa maana siioni nyumba hapo.Jamaa kaipiga picha kiwizi kweli,amezuiliwa hata kuingia ndani
Huyu atakuwa kwenye chain ya madalali yupo namba 8 hadi 10 haruhusiwi hwta kutoa tangazo sema kajitahidi kuiba ndo kapata hapo
kwanin usingesubir huo mchana, au marehemu kafariki usiku huu huu
kwanin usingesubir huo mchana, au marehemu kafariki usiku huu huu