Nyumba kuukuu (iliyo katika kiwanja chenye nafasi ya kujenga nyumba nyingine (mita 25 kwa mita 70),inauzwa Kimara mwisho,mita 700 toka Morogoro Road,pembeni ya barabara iendayo Bonyokwa,eneo linaloitwa Ghorofani/makaburini.
Sababu ya kuuzwa ni kwa ajili ya matibabu ya mmiliki wake.
Bei ni 15,000,000/= (Maelewano yapo)
Kwa mwenye nia ya kununua,tafadhali wasiliana nami PM au acha namba utafutwe.
View attachment 1288312View attachment 1288315View attachment 1288318View attachment 1288319View attachment 1288321