Salaam,
Nyumba inapangishwa,ina vyumba vitatu vya kulala kimoja miongoni mwa vyumba hivyo ina choo na bafu vingine vilivyobaki vinatumia choo n bafu moja.
Ina jiko,sebule na sehemu ya kulia chakula. Imewekwa marumaru,ina gypsum pia.Umeme na maji vipo.Ipo msamala.
Bei ni Tsh 219900 kwa mwezi.