Nyumba self contained inapangishwa Kimara Temboni. Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja ni master bedroom, sitting room, dining, kitchen, store na eneo la takribani ekari moja linalofaa kwa kilimo au kufugia. Iko available kuanzia January 1st, 2012. Kodi ni Tshs. 250,000 kwa mwezi (Negotiable).
Kodi ni kwa Mwaka (Miezi 12)
Call: 0713 301078, 0764 301078,
0778 301078
Jamaa zetu wa karibu na kenya hawajaanza rabsha za kukaba watu ili wapate hela ya kwenda kwao kwa ajili ya sikukuu? tupe update kabla hatujaamua kuja huko kupanga!!!