Nyumba inapangishwa ipo Ukonga -Mombasa

mapozzi

Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
74
Reaction score
53
Ni ya vyumba viwili, sebule, jiko, stoo, ina choo cha ndani. Umeme na maji yapo, ina uzio, nafasi ya parking ipo kubwa.

Kodi ya mwezi sh 300,000/=, Malipo kwa mwaka. Karibuni sana.

Anayehitaji aniPM.

NB: Dalali haitajiki
 
Ni ya vyumba viwili, sebule, jiko, stoo, ina choo cha ndani. Umeme na maji yapo, ina uzio, nafasi ya parking ipo kubwa.

Kodi ya mwezi sh 300,000/=, Malipo kwa mwaka. Karibuni sana.

Anayehitaji aniPM.

NB: Dalali haitajiki




weka picha mkuu
 
Ni ya vyumba viwili, sebule, jiko, stoo, ina choo cha ndani. Umeme na maji yapo, ina uzio, nafasi ya parking ipo kubwa.

Kodi ya mwezi sh 300,000/=, Malipo kwa mwaka. Karibuni sana.

Anayehitaji aniPM.

NB: Dalali haitajiki

Mkuu, malipo kwa Mwaka!!! Na kama mpangaji atataka kuondoka kabla ya mwaka kuisha kodi ya miezi iliyobaki utarudisha? Nadhani imefika wakati hili swala la kulipa kodi ya miezi sita au mwaka liangaliwe upya. Nchi nyingi kodi ya pango hulipwa kila mwezi maana hata mishahara hulipwa kwa week/mwezi na wafanyakazi ndo wadau wakubwa wa kupanga!
 
Picha ya nyumba
 

Attachments

  • IMG_20151116_114232.jpg
    223.7 KB · Views: 182
  • IMG_20151114_152735.jpg
    31.7 KB · Views: 170
  • IMG_20151116_104152.jpg
    73.2 KB · Views: 161
 

Ni wizi na ukandamizaji kwenda mbele. Unaweza kukuta nyumba yenyewe aidha, ina mafuriko wakati wa mvua au wakati wa jua ni vumbi linaingia ndani kiasi ukisafiri ukirudi utadhani madirisha ni ya mbao kumbe zilizopo mbele ya macho yako ni nyavu zilizokamatwa na vumbi. Sasa ukijiondokea imekula kwako, anapangisha mwingine na kuendelea kula bata
 


Mkataba ni wa mwaka mzima, mpangaji kurudushiwa au kutorudishiwa pesa inategemea ni nani aliyevunja mkataba. Sio nyumba zote zinalipiwa kodi ya mwaka, zipo zinazolipiwa ya mwezi, ni suala la mpangaji mwenyewe kuchagua.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…