Kuna watu mnapenda sana mitumba aisee, kwa hela hiyo si unapata simu nzuri tu dukani? Kama upo Dar sema nikuunganishe na rafiki yangu yupo Nokia Tz, atakupa simu kali sana!
Kaka NENDA MLIMANI CITY KM UPO DAR KWENYE DUKA LA VODA KANUNUE,,,,,MI JJUZI NIMENUNUA NOKIA LUMIA 625 KWA LAKI NNE NA NA AROBAINI MPYA NA WARRANTEE WAMENIPA YA MWAKA MMOJA
Kaka NENDA MLIMANI CITY KM UPO DAR KWENYE DUKA LA VODA KANUNUE,,,,,MI JJUZI NIMENUNUA NOKIA LUMIA 625 KWA LAKI NNE NA NA AROBAINI MPYA NA WARRANTEE WAMENIPA YA MWAKA MMOJA
Kuna watu mnapenda sana mitumba aisee, kwa hela hiyo si unapata simu nzuri tu dukani? Kama upo Dar sema nikuunganishe na rafiki yangu yupo Nokia Tz, atakupa simu kali sana!
Inategemea unataka simu gani mfano nataka iphone 5 au 5s kwa 400k dukani ntazionaga lakini naweza pata used kwa ela niliyonayo, kitu muhimu ni kwamba usinunue simu used kwa bei ambayo utapata simu hyo hyo ikiwa mpya.