Nimeathirika kununua makahaba sasa nataka kuacha

mwanangu usiache wala nini mm ndio zangu hizo...mchezo mtamu mno kila siku nanunua demu mpya napiga kamoja alafu ndio narudi home kwa wife hata akininyima poa tu
 

Kuna makaka poa pia ''GAYS'' Embu jaribu halafu uje kutupa feedback.
 
Soon utanunuliwa na wewe sababu kuna wanaume walioathirika kununua wanaume wenzao! Get prepared U fool.
 

tafta demu wa permanent!
 
mwanangu usiache wala nini mm ndio zangu hizo...mchezo mtamu mno kila siku nanunua demu mpya napiga kamoja alafu ndio narudi home kwa wife hata akininyima poa tu

Ni Sifa au? Unamletea mkeo too much demons aaagghhhrrr .. Unahitaji maombi honestly si bure .. Thanks ..
 

Dear Fanya maamuzi angali afya yako ni nzima . You need deliverance . Kwa Yesu yanawezekana . Thanks.
 
Hili lishakuwa paka shume haliwezi kuishi na mke! kama limeshindwa kuwa na girlfriend kwa mwezi linanunua mara 3! what to expect? Nunua tu hivyo hivyo mpaka ukutane na Mwalukanga (hiv)
we jamaa km huna ushauri ni bora ukanyamaza sasa mtu anaomba ushauri we kejeli nyingi... ok we uliye msafi mungu akuepushie na hili balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…