Berryblack
Member
- Oct 3, 2022
- 65
- 99
Karibu sanaMambo yangu hayo, nkichanganya na maziwa ya ngamia, korosho, ndizi , peanut butter, almond seed 😋
Tunaelekezana tu sisi wote wamojaMakafir yatakuja kuKutukana sasa hivi
Yaani umeniongelea mimi napenda sana hii natengeneza sana kwang😍Mambo yangu hayo, nkichanganya na maziwa ya ngamia, korosho, ndizi , peanut butter, almond seed 😋
Tafuta faida ya tendeMsikiti ukijenga frem
Biashara ya tende, juisi ya miwa ni lazima.
Matunda yote yana faida,Tafuta faida ya tende
😋 Huwa nzuri sana, mie huwa nafanya smoothie la ( oats, maziwa, avocado, banana, peanut butter, mtende , almond seed, mkorosho ) siwekagi kabisa maji, maziwa ya ngamia ndio huyatimia kama maji.. yaaani hadi rahaYaani umeniongelea mimi napenda sana hii natengeneza sana kwang😍
Mimi kuna sehemu huwa nanunua 5 kwa bukuEbu nielekeze Kwa reja reja nitauzaje nipate faida
We unaweka vitu vingi mno😂😋 Huwa nzuri sana, mie huwa nafanya smoothie la ( oats, maziwa, avocado, banana, peanut butter, mtende , almond seed, mkorosho ) siwekagi kabisa maji, maziwa ya ngamia ndio huyatimia kama maji.. yaaani hadi raha
kazi yake hasa ni niniYaani umeniongelea mimi napenda sana hii natengeneza sana kwang😍
Elfu 10 kwa kilo 😅Ebu nielekeze Kwa reja reja nitauzaje nipate faida
Naomba hiyo 😋😋.. ni kweli inanepesha. Nasikia pia inaongeza manii sijui Sasa kama kweli au fixWe unaweka vitu vingi mno😂
Mi naweka ndizi,korosho,peanut,nazi,almond,tende na maziwa 😋
Sema ukizoea unanenepaa😂