Nauza simu iphone X gb 64 350,000

Yako ipo tofauti kidogo na hii mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20240110-135617.jpg
    66.1 KB · Views: 21
Yangu ipo kama hiyo mpaka rangi,
Hii yangu nyuma nili bandika stika ya iphone 11 pro. Naukita unaweza itoa ikawa kawaida. Nazani umenielewa
Inatakiwa utoe kwenye biashara kitu chochote kitakachoashiria hofu kitakwamisha biashara


Pia ungeelezea juu kule kenye features and specification ili mtu ajue
 
Hiyo nyuma nilibandika stika ya iphone 11 pro zina ingiliana na iphone x ukienda madukani unapata
Hio kwa.mtu wa sales na Marketing ni utapeli

Ukiwa unauza bidhaa weka kitu halisi, kwa hio Iphone X ulipaswa uieke yenyewe kama yenyewe na kutoa hayo mastika

Mpaka hapo ni ngumu mtu kukuamini
 
Hio kwa.mtu wa sales na Marketing ni utapeli

Ukiwa unauza bidhaa weka kitu halisi, kwa hio Iphone X ulipaswa uieke yenyewe kama yenyewe na kutoa hayo mastika

Mpaka hapo ni ngumu mtu kukuamini
Unamkandia sana🤣🤣🤣
 
Inatakiwa utoe kwenye biashara kitu chochote kitakachoashiria hofu kitakwamisha biashara


Pia ungeelezea juu kule kenye features and specification ili mtu ajue

Asante kwaushauli mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…