Nauza scannia Malorry

Fakharu

Member
Joined
Nov 9, 2013
Posts
60
Reaction score
2
Nauza scannia 113 na volvo kwa bei nzuri kabisa,kwa maelezo zaidi pinga number hii 0787108200.Zipo tanga pia zipo kwenye ubora mzuri kabisa,zipo natrela zake
 

Attachments

  • 1395514339305.jpg
    48.7 KB · Views: 257
  • 1395514400107.jpg
    64.3 KB · Views: 236
  • 1395514482063.jpg
    69.8 KB · Views: 217
Kama umeamua kutangaza hapa huna budi kuweka bei na sio kuwaambia watu wapige simu!au unatangaza number ya simu?why iwe siri mpaka tujuishane kwa simu?achen biashara za hivo,umeweka tangazo weka na bei na maelekezo yote ya muhimu.
 
Kua kama uliopita stage nzuri mkuu mbona kwenye mahotel na mashule wakiwa wanafanya matangazo hawaweki bei zao wanaweka picha na number za simu,biashara haitaki hivyoo mkuu@kamanda moshi
 
Kama umeamua kutangaza hapa huna budi kuweka bei na sio kuwaambia watu wapige simu!au unatangaza number ya simu?why iwe siri mpaka tujuishane kwa simu?achen biashara za hivo,umeweka tangazo weka na bei na maelekezo yote ya muhimu.

Labda ni dalali huyu afu anataka apige pakubwa, maana kama ameweza kuweka picha anaogopa nini kuweka bei..!?
 
weka bei hapa ndio sokoni kila bidhaa ina bei yake. bei yaweza kumshawishi hata asiye na nia ya kununua akanunua, kwa wenye uelewa wa mambo ya marketing nafikir wananisoma
 
tatizo biashara za humu watu siyo wakweli unakuta ni mtu wa kati alafu anajifanya taita
 
Hamna pesa nyie mbona kunawezenu wamenipingia simu na kesho wanakuja kuzichukua
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…