Habari wapendwa
Nauza matunda hayo aina ya passion....nauza kwa kg,na @kg ni tsh 2000 ........kwa mwenye uhitaji wa hayo matunda ani pm.
Lakini hii ni kwa watu wa dar es salaam,Lindi,mtwara,na ruvuma .
Napokea order kuanzia kg 50
Ahsante na karibuni
Mungu akubariki kazi ya mikono yako dada.
Ukiweza tafuta na wale wenye juice bar, natumia no project endelevu tutafanya sana biashara mwakani nitakuwa na project nazo sana.
Mungu akubariki kazi ya mikono yako dada.
Ukiweza tafuta na wale wenye juice bar, natumia no project endelevu tutafanya sana biashara mwakani nitakuwa na project nazo sana.
Habari wapendwa
Nauza matunda hayo aina ya passion....nauza kwa kg,na @kg ni tsh 2000 ........kwa mwenye uhitaji wa hayo matunda ani pm.
Lakini hii ni kwa watu wa dar es salaam,Lindi,mtwara,na ruvuma .
Napokea order kuanzia kg 50
Ahsante na karibuni
Habari yako mkuu..
Vipi passion bado unazo?
Na naweza kupata more details zake aina gani unayo??.. na kwa wingi gani naweza kupata namaanisha idadi ton??na kwa kila mda gani unakua nazo.. na bei pia kama nikiwa nachukuwa kwa wingi jee.. utanipa punguzo bei nzuri... na picha kama zipo tafadhali... tunaweza kufanya biashara mkuu
Ahsante .. natarajia majibu yako ....
Habari yako mkuu..
Vipi passion bado unazo?
Na naweza kupata more details zake aina gani unayo??.. na kwa wingi gani naweza kupata namaanisha idadi ton??na kwa kila mda gani unakua nazo.. na bei pia kama nikiwa nachukuwa kwa wingi jee.. utanipa punguzo bei nzuri... na picha kama zipo tafadhali... tunaweza kufanya biashara mkuu
Ahsante .. natarajia majibu yako ....