halafu kwa wale wenye laptop...unaweza kutumia hii simu kama wireless access point ya intanet so kama una ka bando kako ka tigo/vodacom, unakafaidi kweli na kwa spidi ya juu..
halafu kwa wale wenye laptop...unaweza kutumia hii simu kama wireless access point ya intanet so kama una ka bando kako ka tigo/vodacom, unakafaidi kweli na kwa spidi ya juu..