Nauza Nokia E51

Damson88

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2011
Posts
259
Reaction score
24
Nauza nokia E51 kwa bei ya kutupa laki moja tu. Kama hupo tayari nicheki kwa 0713218388
 
Simu ina tatizo gani? Umeitumia kwa muda gani?
 
halafu kwa wale wenye laptop...unaweza kutumia hii simu kama wireless access point ya intanet so kama una ka bando kako ka tigo/vodacom, unakafaidi kweli na kwa spidi ya juu..
 
halafu kwa wale wenye laptop...unaweza kutumia hii simu kama wireless access point ya intanet so kama una ka bando kako ka tigo/vodacom, unakafaidi kweli na kwa spidi ya juu..

dar sehem gan?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…