Habari wakuu,
Nauza gari yangu Nissan x-trail tatizo nimetembelea bila oil injini ikaanza kugonga na kwasasa sina hela ya kununua injini mpya nipe offer yako nikuachie gari ufunge injini mpya, haina tatizo lolote zaidi yahilo.
Usajili. No DBX
Injini mpya inauzwa milioni moja tuuh.
Gari inavuta nyuma na mbele
Karibu.
View attachment 1875137