Nauza kiwanja Morogoro

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,594
Reaction score
2,435
Habari wakuu.
Eneo la makazi na kilimo lililopo kilometa 20 toka msamvu kuelekea Dodoma na kilometa 5 toka barabara kuu iendayo Dodoma naliuza. Kuna Ekari 3 ambapo kila moja nauza Tsh.500,000/-(laki tano) . Lipo karibu na kiwanda cha kusindika nyama kupita mkundi baada ya mradi wa Watumishi Company.

Simu;0713-039875 au 0784-976570
 
Nipe details zaidi ndo niguse hiyo namba ya simu. Hata pm sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…