Nauza Kiwanja 30m x 22m

Matumizi ya eneo hilo ni yapi? Isijekuwa eneo la kuabudia au soko au nursery school au open space? Hiyo barabara ikipanuliwa mita 15 kiwanja hakitamegwa hicho?
 

Kivule imeshapanda bei kiasi hicho?mie nilipelekwa huko enzi hizo heka laki 4.
 
Jamani, kununua eneo ambalo halijapimwa kuna tatizo gani?
 
Ushauri nenda kwa watu wa mipango miji wakuambie hilo eneo ni kwa ajili ya nini usije nunua dampo area
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…