fidelis zul zorander
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 687
- 179
Hapana ! Sihitaji kitanda !mimi nauza kitanda. sijui tunaweza badilishana?
ok. wewe shida YAKO PESA?. AU ?
Kabati halina miezi sita !... Acha ujuaji mkuuHlo kabati ukilihamisha tu hapo ndo inakuwa mwisho wake... Kuhamisha mchina hakujawahi muacha mtu salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu ! Njoo PM kwa maelewano zaidiok. wewe shida YAKO PESA?. AU ?
Usiharibu biz za watu wengine wasu K k/koo hawapajui..Vingine tuwe tunagawa tu.
Mchina ununue mtumba??
hiyo dressing akiongezea 20000 anapata mpyaa kariakoo
Ndio watapajua leoUsiharibu biz za watu wengine wasu K k/koo hawapajui..
vp huna godoro?je kitanda ni cha chuma au mbao?mimi nauza kitanda. sijui tunaweza badilishana?
Nimekuchek PM naomba unitafute kwa hiyo namba niliyokutumia kama bado mzigo huu upoHabarini wakuuu Bei ya kabati 150000 na dressing table 100000 napatikana mbezi makonde. Ni PM kama upo seriousView attachment 558834View attachment 558835
Sent using Jamii Forums mobile app