Jamani si unaona tu kwenye tairi hapo,
Ukiangalia hii tairi ya kwanza unaona kabisa ukichungulia kwenye matundu unaona Rim ingine ya zamani iko kwa ndani. Ina maana ikiyoko nje ni kofia (wheel cap) tu na sio rim
Lakini ukiangalia tairi hii hapa chini unaona kabisa ukiangalia kwenye matundu unaona mpaka kule ndani kwenye Break Lining, ina maana hii ni alloy/sport rim, sio rimu ya zamani iliyovaa kofia ikafananishwa na sport/alloy