Nauza Fitness Tracker

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
31,336
Reaction score
89,536
Habari.
Nauza fitness tracker mpya sealed yenye kufanya yafuatayo:

-Inapima mapigo ya moyo (heart rate monitor) katika bpm.
-Ina monitor muda uliolala.
-Ina hesabia hatua (pedometer) na distance uliotembea.
-Calories burnt.
-Notification reminder endapo ikiingia sms, call au alarm kwenye simu yako.
-Pia ni water resistant IP67.

Ina support katika Android na iOS.

Bei Tsh elfu 50 tu.

Nipo Ubungo, Namba 0758095750
 
Kaka kama ni xioami naitaka mie hio kwa namba hii 0717135641 tufanye biashara kesho he ni mpya au
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…