Hivi jamani umesema mali ya National Housing .kwanini usiwe mkweli na kwenda NHC uvunje mkataba nao kama wanye nyumba.inakuaje mali ya umma unaita yako??
mbona watu wanauziana natinal housing za shekilango...yaani mm nakuuzia mkataba wangu ws hapo mkuu mbona vitu vinafanyika.. Android ni eneo la ofisi ktk national housing hapo kuna ofisi zipo ktk building hiyo mkuu