D dos un Member Joined Nov 24, 2015 Posts 24 Reaction score 9 Mar 17, 2016 #1 Habarini wana Jamii. natafuta nyumba ya kupanga Iwe maeneo ya ubungo au mabibo hostel, vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebule , luku yake, iwe ndani ya geti pamoja na maji ya Dawasco. Mawasiliano ya awali ni ndani ya Jamvi hili. Asanteni
Habarini wana Jamii. natafuta nyumba ya kupanga Iwe maeneo ya ubungo au mabibo hostel, vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebule , luku yake, iwe ndani ya geti pamoja na maji ya Dawasco. Mawasiliano ya awali ni ndani ya Jamvi hili. Asanteni
Kayenga jr JF-Expert Member Joined Feb 16, 2016 Posts 443 Reaction score 349 Mar 17, 2016 #2 Ngoja waje wenye kazi yao